Monday, December 24, 2012
Chris Brown Is Just as Sick of the Rihanna-Karrueche Tran Drama as the Rest of Us
Poor widdle Chris Brown is so exhausted after smoking all that weed and performing during his Carpe Diem tour, but mostly he's exhausted by the never-ending speculation love triangle between himself, Rihanna and Karrueche Tran.
We never thought we'd say this, and it could be the warning signs of that apocalypse that never was, but we kind of agree with Chris Brown. We know, we're scared too.
Read More
Rihanna Honors Grandmother by Donating $1.75 Million to Barbados Hospital
Rihanna honored her late grandmother — Gran Gran Dolly, who died back in the summer and whom she commemorated with a giant tattoo on her chest — by generously donating $1.75 million to a hospital in Barbados. It’s that time of year, where celebs and pop stars are in a giving mood and mode, and RiRi was able to assist her native island.
RiRi loved her grandmother Clara “Dolly” Braithwaite immensely, and now her spirit will live on courtesy of the donation. The radiotherapy department at the Queen Elizabeth Hospital in Bridgetown has been renamed “The Clara Braithwaite Centre for Oncology and Nuclear Medicine.”
The donation has helped the hospital purchase necessary equipment for its efforts.
RiRi issued a statement to E! about her donation, saying, “This was my way of giving back to Barbados, in a form of philanthropy, by assisting the QEH in its continued modernization program … I believe that this will have a huge impact on the people of Barbados. This was all done to save lives or at least extend them.”
It’s nice to see RiRi doing something newsworthy and headline-grabbing that doesn’t involve the removal of her top or some sort of Instagram photo of herself and Chris Brown hinting that they are either a couple or have broken up yet again.
source:Pop Crush
Friday, August 10, 2012
Monday, May 21, 2012
JACK, KABULA WASHINDWA KUMUAGA MAFISANGO

Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’.

Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’.
Stori: Erick EvaristWAIGIZAJI masistaduu wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ na Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, Ijumaa iliyopita walishindwa kuaga mwili wa kiungo mshambulia wa Timu ya Simba, marehemu Patrick Mafisango kwenye Viwanja vya TTC Chang’ombe, Dar kutokana na umati mkubwa uliojitokeza.
Huku wakijinadi kuwa ni mashabiki wa kufa wa soka Bongo, wakiwa eneo hilo, mastaa hao waliliambia Ijumaa Wikienda kuwa walijisikia vibaya kushindwa kupata nafasi ya kumwona kwa mara ya mwisho marehemu Mafisango.
“Imetuuma sana, wametangaza muda wa kuaga umekwisha na sisi hatujapata nafasi ya kufika kwenye jeneza. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,” alisema Jack.
Mafisango (32) alifikwa na mauti kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Chuo cha Ufundi cha Veta, Dar na alitarajiwa kuzikwa wikiendi iliyopita nyumbani kwao Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Sunday, May 20, 2012
KIGODA AMNG'OA KIGOGO TBS
Mkurugenzi Mkuu Charles Ekelege wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS)
Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda
SERIKALI imeiagiza Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu, Charles Ekelege, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.Mkurugenzi huyo anakabiliwa na tuhuma za kuanzisha kampuni hewa za ukaguzi wa magari nje ya nchi hususani, Hong Kong na Singapore na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni ya fedha.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda alithibitisha hayo jana alipokuwa anaelezea mikakati yake mipya ya kiutendaji tangu ateuliwe na Rais Jakaya Kikwete kuiongoza wizara hiyo hivi karibuni, akichukua nafasi ya Dk Cyril Chami.
“Kashfa ya TBS ni moja ya sababu za kupanguliwa kwa wakuu wa wizara, hivyo kwa kuanzia, nimeiagiza Bodi ya Wakurugenzi ya TBS kumsimamisha kazi Ekelege ili kupisha uchunguzi ndani ya shirika hilo,” alisema Dk Kigoda.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bodi hiyo ya TBS, Oliver Mhaiki alipoulizwa juu ya taarifa hizo, alisema hajapokea maagizo ya Waziri. Aliongeza kuwa, katikati ya wiki ijayo kutakuwa na kikao cha dharura cha Bodi kuzungumzia mambo kadhaa yanayohusu utendaji wa shirika hilo.
“Mara tukipokea taarifa rasmi juu ya suala hilo kutoka wizarani, tutaliingiza katika ajenda zetu za kikao,” alisema.
Sakata la kuwapo kampuni hewa za ukaguzi wa magari liliibuliwa na ripoti iliyotolewa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), pia wenyeviti wa kamati za kudumu za Bunge za Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) inayoongozwa na Kabwe Zitto na ya Hesabu za Serikali (PAC) ya John Cheyo.
Hata hivyo, taarifa za ripoti hizo zilionekana kutofanyiwa kazi, hivyo kuibuliwa kwa tuhuma kuwa Dk Chami na Naibu wake, Lazaro Nyalandu kuwa walikuwa wanamkingia kifua Ekelege kutokana na kushindwa kumchukulia hatua.
Suala la Ekelege na mengine ya mawaziri na viongozi wa mashirika ya umma walioguswa na kashfa mbalimbali katika ripoti ya CAG, yaliibua mjadala mkali katika Bunge la Aprili, kiasi cha baadhi ya wabunge kuweka kusudio la hoja ya kutokuwa na imani na Serikali, huku wakimtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda ajiuzulu.
Hatua hiyo ilitokana na kilio cha wabunge na wananchi kutaka mawaziri na watendaji katika mashirika ya umma wanaoguswa na tuhuma wajiuzulu, kuonekana kutopewa uzito.
Lakini siku chache baadaye, Rais Kikwete, baada ya kupokea ripoti ya kilichotokea bungeni na uzito wa tuhuma, alitumia busara za kupanga upya safu yake ya mawaziri, huku wengi walioguswa wakiwekwa kando.
Hao ni pamoja aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii), William Ngeleja (Nishati na Madini), Dk Hadji Mponda (Afya na Ustawi wa Jamii), Dk Cyril Chami (Viwanda na Biashara) na Omar
Subscribe to:
Comments (Atom)

