Wednesday, September 21, 2011

MAKAMU WA RAIS DK BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA VITAMBULISHO VYA TAIFA.

makamu wa rais DK.mohammed Ghalib Bilal akifatilia kwa umakini maelekezo ya mkurugenzi wa vitambulisho vya taifa Dickson maimu wakati alipo fika ofisini mwake ikulu jijini dar-es-salaam katikati ni ofisa habari wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa(NIDA) rose mdani.