Monday, November 14, 2011

KIKAO CHA MAKAMISHNA WA TUME YA KUREKEBISHA SHERIA CHAANZA DAR HII LEO.

Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania,Jaji Prof. Ibrahim Juma (wa kwanza kushoto) akiongoza kikao cha kwanza cha Makamishna wa Tume jijini Dar es Salaam leo.
Makamishna wa Tume hiyo wakiwa katika kikao leo.