Sunday, November 13, 2011

MKUU WA MKOA WA MOROGORO ATEMBELEA SEHEMU ILIYOTOKEA AJALI LA LORI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (kushoto) akifuatana na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mgeni Baruani, wakiliangalia lori lililoanguka juzi usiku katika barabara ya Morogoro- Dodoma na kwa mbali ni Mkuu wa Mkoa huyo akizungumza na mmoja wa wafanyakazi wa Lori hilo lenye namba za usajili T 838 BTY na Tella namba T 215 BTE.