Naibu Katibu Mkuu Wizara Kilimo Chakula na Ushirika,Mhandisi Mbogo Futakamba akifungua mkutano unaojadili uboreshaji wa mazao ya uvuvi na mpunga kwa ukanda wa Afrika Mashariki leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo wa siku tano unalenga kuwawezesha wakulima kuzalisha mpunga kwa wingi huku wakiendeleza ufugaji wa samaki katika maeneo yao ya kilimo ili kupunguza umaskini.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar es salaam.