Monday, November 14, 2011

UJENZI WA DARAJA KATIKA KIJIJI CHA MATAI WILAYANI SUMBAWANGA.

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya kichina iitwayo China Railway 15Bureuau Group Corporation (CR 15G) Newcentry Company Limited wakijenga daraja katika kijiji cha Matai wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa hivi karibuni katika barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga inayotengenezwa kwa kiwango cha lami na kampuni hiyo ya ujenzi hata hivyo kazi katika barabara ni za kusua kusua kufuatia Serikali kushindwa kuwa lipa wakandarasi hao malipo yao kwa wakati.