Sunday, November 13, 2011

ZOEZI LA UGAWAJI WA CHANJO KWA WATOTO LAENDELEA WILAYANI NKASI.

Mkuu wa wilaya ya Nkasi, Joyce Mgana akimuweka alama mtoto Rajabu Wangoma, mwenye umri wa miaka mitatu na miezi minne mara baada ya kupata matone ya Vitamini A, wakati wa uzinduzi wa zoezi la Chanjo ya Surua, Polio, Minyoo na Vitamini A, uliofanyika katika kitongoji cha Mazwi mjini Sumbawanga.